![]() |
Jaji Joseph Warioba akihutubia wakati alipowasilisha Rasimu ya Pili ya Katiba, Dar es Salaam, jana. |
Tuesday, December 31, 2013
SERIKALI TATU YAENDELEA KUTAWALA RASIMU YA KATIBA MPYA...
Monday, December 30, 2013
MICHAEL SCHUMACHER MAHUTUTI BAADA YA KUBAMIZA KICHWA KWENYE JABALI...
![]() |
KUSHOTO: Schumacher alipokuwa akitamba kwenye Formula One. KULIA: Akiserereka kwenye barafu. |
Sunday, December 29, 2013
BALOZI WA PAPA ATAKASA KANISA LILILOPIGWA BOMU ARUSHA...
![]() |
KUSHOTO: Askofu Fransisco Padilla. KULIA: Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi la Olasiti siku lilipopigwa bomu. |
Saturday, December 28, 2013
BEI YA VITALU UTAFITI WA GESI ASILIA HAIKAMATIKI...
Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuyaalika rasmi makampuni ya wazawa yenye uwezo wa kifedha na kitaalamu kushiriki katika zabuni ya kutafuta wawekezaji wa vitalu vya utafiti wa gesi asilia sambamba na makampuni ya nje, huku gharama zake zikionekana kuwa `mlima mrefu’.
Friday, December 27, 2013
MAWAZIRI WANNE WALIOTIMULIWA WAZUNGUMZIA KILICHOWASIBU...
![]() |
Mawaziri waliotimuliwa, kutoka kushoto ni David Mathayo, Shamsi Vuai Nahodha, Emmanuel Nchimbi na Khamis Kagasheki. |
Thursday, December 26, 2013
Wednesday, December 25, 2013
Tuesday, December 24, 2013
Monday, December 23, 2013
Sunday, December 22, 2013
HOTUBA YA MIZENGO PINDA AKIHITIMISHA MOJA YA MIKUTANO YA KUVUTIA YA BUNGE...
HOTUBA YA MHESHIMIWA MIZENGO P. PINDA (MB), WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WAKATI WA KUHITIMISHA SHUGHULI ZA MKUTANO WA 14 WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
TAREHE 21 DESEMBA, 2013
TAREHE 21 DESEMBA, 2013
I: UTANGULIZI
Masuala ya Jumla
Mheshimiwa Spika,
Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo. Tumekuwepo hapa Dodoma kwa takriban siku 15 za kazi ambapo tumeweza kutekeleza majukumu na kazi za Mkutano wa 14 wa Bunge lako Tukufu ambapo tunahitimisha shughuli zilizopangwa hivi leo.
Mheshimiwa Spika,
Nitumie nafasi hii ya mwanzo kabisa kumpongeza kwa dhati Mheshimiwa Dkt. Asha Rose Migiro, (Mb.) kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Mbunge katika Bunge lako Tukufu. Wengi wetu tunafahamu uwezo mkubwa wa Dkt. Asha Rose Migiro na bila shaka ndiyo sababu Mheshimiwa Rais alifanya uamuzi wa kumteua kuwa Mbunge kwa kuzingatia sifa nzuri alizonazo. Pamoja na kumpongeza napenda kumtakia kazi njema ndani na nje ya Bunge lako Tukufu.
Mheshimiwa Spika,
Tangu Mkutano wa 13 wa Bunge baadhi ya Waheshimiwa Wabunge wamepotelewa na Ndugu, Jamaa na Marafiki. Napenda kutumia fursa hii kuwapa pole wote waliofikwa na misiba hiyo. Lakini katika Mkutano huu, Waheshimiwa Wabunge walipata fursa ya kujadili Azimio la Bunge kuhusu kuungana na Nchi ya Afrika Kusini, katika kuombeleza kifo cha Muasisi, Mpinga ubaguzi wa rangi, Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Hayati Nelson Madiba Mandela kilichotokea tarehe 5 Desemba 2013. Wote tunakubaliana kwamba huu ni msiba Mkubwa kwa Dunia nzima na hasa kwa wale wanaomfahamu Mzee Mandela na historia yake.
Aidha, nitumie fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutuwakilisha vyema Watanzania wote katika msiba huu mkubwa wa Afrika na Dunia nzima. Hotuba ya Mheshimiwa Rais aliyoitoa wakati wa mazishi ya Hayati Nelson Mandela tarehe 15 Desemba, 2013 pale Qunu ilitosha kabisa kuitangaza Tanzania Dunia nzima katika ushiriki wake kwenye harakati za ukombozi Barani Afrika katika Karne ya 20. Ninaamini kwamba hiyo ni Historia ambayo haitafutika vizazi vingi vijavyo. Tutaendelea kumuenzi Mzee Mandela kwa kuiga na kufuata nyayo zake.
Masuala ya Jumla
Mheshimiwa Spika,
Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu mwenye wingi wa Rehema kwa kutufikisha salama siku ya leo. Tumekuwepo hapa Dodoma kwa takriban siku 15 za kazi ambapo tumeweza kutekeleza majukumu na kazi za Mkutano wa 14 wa Bunge lako Tukufu ambapo tunahitimisha shughuli zilizopangwa hivi leo.
Mheshimiwa Spika,
Nitumie nafasi hii ya mwanzo kabisa kumpongeza kwa dhati Mheshimiwa Dkt. Asha Rose Migiro, (Mb.) kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Rais kuwa Mbunge katika Bunge lako Tukufu. Wengi wetu tunafahamu uwezo mkubwa wa Dkt. Asha Rose Migiro na bila shaka ndiyo sababu Mheshimiwa Rais alifanya uamuzi wa kumteua kuwa Mbunge kwa kuzingatia sifa nzuri alizonazo. Pamoja na kumpongeza napenda kumtakia kazi njema ndani na nje ya Bunge lako Tukufu.
Mheshimiwa Spika,
Tangu Mkutano wa 13 wa Bunge baadhi ya Waheshimiwa Wabunge wamepotelewa na Ndugu, Jamaa na Marafiki. Napenda kutumia fursa hii kuwapa pole wote waliofikwa na misiba hiyo. Lakini katika Mkutano huu, Waheshimiwa Wabunge walipata fursa ya kujadili Azimio la Bunge kuhusu kuungana na Nchi ya Afrika Kusini, katika kuombeleza kifo cha Muasisi, Mpinga ubaguzi wa rangi, Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Hayati Nelson Madiba Mandela kilichotokea tarehe 5 Desemba 2013. Wote tunakubaliana kwamba huu ni msiba Mkubwa kwa Dunia nzima na hasa kwa wale wanaomfahamu Mzee Mandela na historia yake.
Aidha, nitumie fursa hii kumpongeza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutuwakilisha vyema Watanzania wote katika msiba huu mkubwa wa Afrika na Dunia nzima. Hotuba ya Mheshimiwa Rais aliyoitoa wakati wa mazishi ya Hayati Nelson Mandela tarehe 15 Desemba, 2013 pale Qunu ilitosha kabisa kuitangaza Tanzania Dunia nzima katika ushiriki wake kwenye harakati za ukombozi Barani Afrika katika Karne ya 20. Ninaamini kwamba hiyo ni Historia ambayo haitafutika vizazi vingi vijavyo. Tutaendelea kumuenzi Mzee Mandela kwa kuiga na kufuata nyayo zake.
MAZIKO YA MANDELA UTATA MTUPU, BAADHI WAHOJI KAMA ALIVIRINGWA NGOZI YA NG'OMBE...
![]() |
Jeneza lenye mwili wa Mzee Nelson Mandela wakati wa heshima za mwisho kijijini Qunu. |
Saturday, December 21, 2013
Friday, December 20, 2013
OPERESHENI TOKOMEZA UJANGILI YAENDA NA MAWAZIRI WANNE...
![]() |
KUTOKA KUSHOTO: Balozi Khamis Kagasheki, Dk Emmanuel Nchimbi, Shamsi Vuai Nahodha na Dk David Mathayo. |
Subscribe to:
Posts (Atom)