Showing posts with label Picha. Show all posts
Showing posts with label Picha. Show all posts

Monday, August 18, 2014

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania na baadhi ya wateja wakuonesha fataki kusherehekea maadhimisho ya miaka 17 ya benki hiyo ambayo husherehekewa kila Agosti 15. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Tawi la kwanza kufunguliwa na benki hiyo mwaka 1997 lililoko Samora, Dar es Salaam.

Afisa Mtendaji Mkuu wa MeTL Group, Mohammed Dewji (katikati) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Rand Merchant Bank (RMB), Bruce Macfarlane (kulia, mara baada ya kutiwa saini mkopo wa Shilingi bilioni 300.

Banda la Mtandao wa mashirika yapatayo 30 ya kupambana na matumizi ya kupita kiasi ya pombe nchini (Tanzania Network Against Alcohol Abuse) kwenye maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Vijana Duniani.

Baadhi ya wacheza ngoma wa kikundi cha Bujora wakishangilia baada ya kuibuka mabingwa wa Kanda ya Ziwa katika fainali za mashindano ya Ngoma za Asili yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Mabatini, jijini Mwanza mwishoni mwa wiki. Kwa ushindi huo, Bujora walijinyakulia kikombe pamoja na pesa taslimu Shilingi 1,100,000.

JICHO LA TATU


Thursday, August 14, 2014

JICHO LA TATU


Wednesday, August 13, 2014

JICHO LA TATU


Tuesday, August 12, 2014

JICHO LA TATU


Monday, August 11, 2014

JICHO LA TATU


Sunday, August 10, 2014

JICHO LA TATU


Saturday, August 9, 2014

JICHO LA TATU


Wednesday, August 6, 2014

JICHO LA TATU


Tuesday, August 5, 2014

JICHO LA TATU


Monday, August 4, 2014

Mratibu Maafa Ofisi ya waziri Mkuu, Edga Senga akipokea maelekezo kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk Florence Turuka kuhusu masuala ya maafa alipotembelea banda hilo katika Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea mkoani Dodoma.

Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na michezo, Said Ali Mbarouk akizungumza na wamiliki wa mahoteli pamoja na wenye kusambaza bidhaa katika mahoteli ili kutatua matatizo yao huko kwenye Ukumbi wa Wizara ya Habari Zanzibar.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Samwel Sitta akiongoza kikao cha Kamati ya uongozi cha Bunge hilo kilichokaa leo kupanga ratiba ya bunge hilo linaloanza kesho Agosti 5, 2014 baada ya kuahirishwa Aprili 25, 2014 kupisha Bunge la Bajeti.

Washiriki wa Shindano la Redd's Miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hoteli ya Piccolo jijini Dar es Salaam. Jumla ya warembo 20 wapo kwenye mazoezi kujiwinda kwa shindano hilo litakalofanyika Ijumaa ya Agosti 15, 2014 kwenye fukwe za Escape One kwa kiingilio cha Shilingi 10,000 na 30,000 kwa VIP.

JICHO LA TATU


Friday, August 1, 2014

JICHO LA TATU


Thursday, July 31, 2014

JICHO LA TATU