Monday, September 30, 2013
UNYAMA ZAIDI WA MAGAIDI WA AL-SHABAAB WAFICHULIWA WESTGATE SHOPPING MALL...
![]() |
Mmoja wa magaidi hao akiwaelekezea mtutu wa bunduki wateja kwenye kaunta ya benki ya Diamond Trust ndani ya jengo hilo. |
![]() |
Ilikuwa ni mitutu ya bunduki kila kona ya jengo hilo kama wanavyoonekana magaidi hao wakifanya. |
Hili ni tukio la kutisha mmoja wa magaidi kwenye kituo cha biashara cha Kenya akielekeza mtutu kwa mateka, tayari kwa kuwaua.
UMOJA WA MATAIFA WAJIVUNIA UWEZO WA WANAJESHI WA TANZANIA...
![]() |
Baadhi ya wanajeshi wa Tanzania walioko kwenye majeshi ya kulinda amani ya Umoja wa Mataifa. |
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki moon amemwambia Rais Jakaya Kikwete, kuwa Umoja huo unajivunia mchango na ushiriki wa majeshi ya Tanzania katika Brigedi ya Kimataifa ya Kutuliza Hali (FIB) katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC).
Sunday, September 29, 2013
DADA WA FREEMAN MBOWE ALIYEHAMIA CCM AFARIKI DUNIA KWA AJALI YA GARI...
Habari zilizotufikia zinasema kwamba Grace Mbowe na dereva wake, Abrahman Lukindo wamefariki dunia katika ajali mbaya ya gari iliyotokea leo mchana mkoani Tanga.
Grace, ni dada wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.
Grace, ni dada wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.
Saturday, September 28, 2013
MREMBO WA GHANA AFANYA KWELI MISS WORLD 2013, TANZANIA YALE YALE...
![]() |
Miss World 2013, Megan Young mara baada ya kutangazwa mshindi. |
![]() |
Miss World 2013, Megan Young akiwa na Marine Lorphelin (kushoto) aliyeshika nafasi ya Pili na Carranzar Naa Okailey Shooter aliyeshika nafasi ya tatu. |
UNYAMA WESTGATE MALL! MATEKA WATOBOLEWA MACHO, WANG'OLEWA PUA NA KUNYOFOLEWA VIDOLE KWA KOLEO..
![]() |
Askari wa Kenya akijipanga namna ya kutoka... |
![]() |
Ghorofa ya juu ya Westgate Mall baada ya kupigwa kombora na vikosi vya Kenya... |
![]() |
Ghorofa tatu zilizobomolewa kwa kombora... |
![]() |
Uharibifu mkubwa baada ya ghorofa kulipuliwa kwa kombora... |
![]() |
Baadhi ya magari baada ya kuteketea kwa moto juu ya jengo la Westgate Mall... |
![]() |
Sehemu ya maegesho ya magari ndani ya jengo hilo baada ya kupigwa kombira... |
![]() |
Mwili wa mmoja wa waathirika ukiwa umetelekezwa ndani ya jengo hilo. |
Askari wamesimulia mateso makali ya kutisha yaliyofanywa na magaidi kwenye jengo la Westgate mjini Nairobi juzi wakidai kuwa mateka walikatwa viungo, macho yao kutobolewa na kutelekezwa wakiwa wamening'inizwa katika vishikizo darini.
Friday, September 27, 2013
MAGAIDI WALIOTEKA WESTGATE WATUPA SILAHA WASIJULIKANE NA KUTOROKA...
![]() |
Ghorofa mbili za jengo la Westgate zikiwa zimebomolewa kwa ndani baada ya mlipuko mkubwa uliofuatiwa na moshi mzito. |
Maofisa Usalama wa nchi za Magharibi wanahofia kuwa huenda watekaji wengi waliokuwa wakishikilia kituo cha biashara cha Westgate, walitoroka muda mfupi baada ya shambulio, kwa kutupa bunduki zao na kujifanya wateja wa duka hilo, imefahamika.
Thursday, September 26, 2013
MWANAMKE ANUSURIKA BAADA YA KUMIMINIWA RISASI NA GAIDI WESTGATE SHOPPING MALL...
![]() |
Patashika katika jengo la Westgate Shopping Mall mjini Nairobi. |
Wakati Serikali ya Kenya ikitangaza kukamilisha kazi ya kupambana na magaidi walioteka kituo cha biashara cha Westgate, Nairobi na kufanikiwa kuwaangamiza, mfanyakazi wa moja ya maduka ya kituo hicho, amesema mwanamke anayefanana na Samantha Lewthwaite alimmiminia risasi siku ya tukio.
Wednesday, September 25, 2013
Tuesday, September 24, 2013
MAPYA YAIBUKA UTEKAJI WESTGATE SHOPPING MALL, MJANE WA KIINGEREZA AHUSIKA...
![]() |
KUSHOTO: Samantha Lewthwaite. KULIA: Jinsi ilivyokuwa. |
Shambulio la kigaidi kwenye kituo cha kibiashara Kenya lililosababisha vifo vya watu 69 liliongozwa na mjane mweupe wa Kiingereza wa mlipuaji mabomu ya 7/7, imedaiwa juzi usiku.
**Serikali jana ilirekebisha taarifa za vifo kwa kusema waliokufa ni 62 na kwamba wengine 63 hawajulikani waliko.**
**Serikali jana ilirekebisha taarifa za vifo kwa kusema waliokufa ni 62 na kwamba wengine 63 hawajulikani waliko.**
Subscribe to:
Posts (Atom)