Sunday, June 30, 2013
UVUMILIVU WAMSHINDA OBAMA, SASA AWAJIBU WAKENYA...
![]() |
Rais Barack Obama. |
Wakati Rais wa Marekani, Barack Obama amesema asingeweza kufanya ziara Kenya kutokana na Rais wake, Uhuru Kenyatta na Naibu wake, William Rutto kukabiliwa na mashitaka katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC), pia amehadharisha Afrika kuhakikisha kuwa kampuni za kigeni zinaajiri wafanyakazi wazalendo ili wawekeze nchini mwao.
Saturday, June 29, 2013
OBAMA AWASILI AFRIKA KUSINI, KUTOKWENDA KUMTEMBELEA MZEE MANDELA...
![]() |
Rais Barack Obama akishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili nchini Afrika Kusini jana jioni. |
Rais Barack Obama amewasili Afrika Kusini jana jioni, lakini sasa hatamtembelea kinara wa kupinga ubaguzi wa rangi, Mzee Nelson Mandela hospitalini alikolazwa mjini Pretoria katika kituo chake cha pili cha ziara yake ya nchi tatu za Afrika.
Friday, June 28, 2013
Thursday, June 27, 2013
Wednesday, June 26, 2013
Tuesday, June 25, 2013
Sunday, June 23, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)