Jamaa kaenda baa na mke wake wa ndoa. Wakati wakiendelea kupata vinywaji pale, ghafla akatokea changudoa mmoja na kwenda moja kwa moja kwa mke wa jamaa na kumnong'oneza sikioni: "Akulipe kabisa kabla hujaenda kulala naye, jamaa mgumu sana kulipa!!" Duh, kasheshe...
No comments:
Post a Comment