Monday, November 28, 2022
A MASH MADE IN HEAVEN! POTATOES CAN HELP YOU LOSE WEIGHT, SCIENTISTS SAY
But though it may seem counter-intuitive, scientists now believe starchy potatoes could be the secret to shedding pounds.
DID YOU KNOW THAT THESE COMMON HOUSEHOLD ITEMS ARE MEANT TO BE USED THIS WAY?
COCAINE ‘SUPER-CARTEL’ FRONTED BY BRITISH DRUGS LORD IS BUSTED WITH 49 ARRESTED ACROSS EUROPE AND DUBAI
A huge drugs 'super-cartel' that controlled a third of Europe's cocaine trade has been busted by police officers, with 49 arrests in countries including France and Dubai.
Tuesday, November 15, 2022
Sunday, November 13, 2022
MAJINA SITA WALIOFARIKI AJALI YA BASI ARUSHA EXPRESS DODOMA HAYA HAPA...
Watu sita wamefariki Dunia wakati basi la abiria lilipogongana na lori katika eneo la Mzakwe mkoani Dodoma mchana wa leo.
Katika ajali hiyo, basi la Arusha Express lenye namba za usajili T530 AGG liligongana na lori la mchanga la kampuni ya Sinohydro, lenye namba za usajili T939 DZE jana, saa sita mchana.
WANAFUNZI 566,840 KUANZA MITIHANI KIDATO CHA NNE KESHO
Jumla ya wanafunzi 566,840 wamesajiliwa kufanya mtihani wa kidato cha nne mwaka huu inayotarajiwa kuanza kesho nchi nzima, na kati yao watahiniwa wa shule ni 535,001 na watahiniwa wa kujitegemea ni 31,839.
HOTUBA YA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MKUTANO WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA, SAMIA SULUHU HASSAN NA MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI UTAKAOFANYIKA ZANZIBAR KUANZIA TAREHE 14 HADI 21 NOVEMBA 2022
HOTUBA YA DKT. STERGOMENA TAX (MB), WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU MKUTANO WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA, SAMIA SULUHU HASSAN NA MABALOZI WA TANZANIA NJE YA NCHI UTAKAOFANYIKA ZANZIBAR KUANZIA TAREHE 14 HADI 21 NOVEMBA 2022
Ndugu Wahariri;
Ndugu wanahabari;
Mabibi na Mabwana;
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndugu wahariri, awali ya yote napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kukutana siku ya leo tukiwa na afya njema.
Pili, nawashukuru kwa kuitikia wito wetu na kuweza kuhudhuria mkutano huu. Pia, nawashukuru na kuwapongeza kwa ushirikiano mnaoutoa kwa Wizara na kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya ya kuuhabarisha Umma kuhusu umuhimu na mchango wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki katika maendeleo ya Taifa letu.
Friday, November 11, 2022
28,000 WALIOKOSA MIKOPO WATAKIWA KWENDA VYUONI KUENDELEA NA USAJILI
HAYA NDIO MAWASILIANO YA RUBANI WA PRECISION AIR...
Wednesday, November 9, 2022
Tuesday, November 8, 2022
AJALI YAUA WATUMISHI 7 MANYARA, WAMO MUME NA MKE
THE WORLD'S 10 MOST DANGEROUS AIRPORTS
1. Tenzing-Hillary Airport
Tenzing-Hillary Airport, or Lukla Airport, is located 9,383 feet above sea level, surrounded by mountainous terrain. Its short runway is 1,729 feet (it’s common to have 7,000-10,000-foot runways) and sits on the edge of a cliff, with a 2,000-foot drop on one side and a stone wall on the other. The weather is highly unpredictable in the mountains, so the flights only operate in the morning. It’s common for flights to get canceled due to sudden snow or fog.
10 THINGS YOU DIDN'T KNOW ABOUT AIRPORTS
1. You won’t be offered an upgrade so easily.
We all dream that someday we will arrive at the check-in desk with our economy class ticket and being told, “We are offering you an upgrade to business class.” Not to rain on your parade or anything, but keep dreaming because the probability of this happening is scarce. Dressing in your best ball gown, smiling from ear to ear, complimenting the employee in question, and even knowing a crewmember won’t help. Today, it is only the airline’s frequent fliers who can opt for this luxury, and even for them, it is difficult. Sure, you never know, but just don’t hold your breath.
MVUVI ASIMULIA ALIVYORUDI KUMUAGA RUBANI AJALI YA PRECISION AIR
KIJANA AKWAA MAMILIONI, AJIRA AJALI YA PRECISION AIR
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kijana mvuvi aliyesaidia kwa ujasiri kuokoa abiria waliopata ajali ya ndege ya Precision Air, Majaliwa Jackson kukabidhiwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni ili atafu-tiwe nafasi kwenye Jeshi la Uokoaji.
WAZIRI MKUU AONGOZA MAMIA KUAGA MIILI AJALI YA PRECISIONAIR
Waziri Mkuu, Kassim Majal-iwa ameongoza mamia ya waombolezaji kuaga miili ya watu 19 waliokufa katika ajali ya ndege ya Kampuni ya Precision Air katika Ziwa Victoria mjini Bukoba mkoani Kagera juzi.