Saturday, November 30, 2013
WASOMI WAAFIKI WALICHOFANYIWA AKINA ZITTO KABWE CHADEMA...
![]() |
Viongozi wa Chadema wakishiriki katika moja ya kampeni za chama hicho. |
Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Chadema (Chaso) Mkoa wa Dar es Salaam, umeunga mkono uamuzi wa Kamati Kuu (CC) ya chama hicho wa kuwavua madaraka aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe na wenzake wawili wakisema Kamati hiyo imefuata misingi ya Katiba ya Chama.
Friday, November 29, 2013
WAFUASI WA KAMBI MBILI ZA UCHAGUZI WAIBUKA CHADEMA...
![]() |
Baadhi ya wafuasi wa Chadema katika moja ya mikutano ya chama hicho. |
Thursday, November 28, 2013
Wednesday, November 27, 2013
MAMIA WAJITOKEZA DAR KUMZIKA MWANAFUNZI ALIYEUAWA NCHINI KENYA...
![]() |
Jeneza lenye mwili wa Jerry Mruma likishushwa kaburini wakati wa mazishi kwenye makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam jana. |
HATUA DHIDI YA ZITTO NA WENZAKE NI KAMA ILE YA AKINA CHACHA WANGWE...
![]() |
John Mnyika akiteta jambo na Tundu Lissu wakati Chadema ilipokuwa ikitolea ufafanuzi hatua dhidi ya Zitto Kabwe na wenzake, mbele ya waandishi wa habari Dar es Salaam jana. |
Tuesday, November 26, 2013
Monday, November 25, 2013
ZITTO KABWE ASISITIZA HATOKI CHADEMA, AASHIRIA KUGOMBEA UENYEKITI MWAKANI...
![]() |
Kabwe Zitto alipokuwa akielezea msimamo wake mbele ya waandishi wa habari jana Dar es Salaam. |
Sunday, November 24, 2013
HUU NDIO WARAKA ULIOMPONZA ZITTO KABWE NA WENZAKE CHADEMA...
![]() |
Zitto Kabwe. |
Kikubwa kilichosababisha hatua hiyo kuchukuliwa ni waraka ufuatao:
Saturday, November 23, 2013
Friday, November 22, 2013
OMBI LA BABU SEYA, PAPII KOCHA LATUPILIWA MBALI, SASA 'KUFIA' JELA...
Nguza Viking 'Babu Seya' (kushoto) na mwanawe Johnson 'Papii Kocha'. |
Ndugu na jamaa wakilia kwa uchungu mahakamani mara baada ya hukumu kutolewa jana. |
Thursday, November 21, 2013
BABU SEYA, PAPII KOCHA KUSOTA JELA AMA KUACHIWA LEO...
Papii Kocha na Babu Seya wakiwapungia jamaa zao nje ya Mahakama ya Rufani, Dar es Salaam. |
Wednesday, November 20, 2013
WAFANYABIASHARA WASISITIZIWA KUNUNUA MASHINE ZA RISITI...
![]() |
Baadhi ya wafanyabiashara wa Kariakoo waliofunga maduka yao kugomea mashine za risiti juzi. |
Subscribe to:
Posts (Atom)