Nesi mmoja aliachiwa maagizo na ndugu wa mgonjwa kwamba ikifika Saa 8, ampatie mgonjwa chakula. Kabla ya muda huo, yule nesi akala yeye kile chakula.
Ilipofika Saa 8 kasorobo, ndugu wa mgonjwa akampigia simu yule nesi na kusema: "Ikifika muda wa kula umlazimishe ale chote, humo kuna sumu. Tumekubaliana wanafamilia kwamba afe, hatuna fedha za kumpeleka nchini India kwa matibabu! Duh, kasheshe...
Ilipofika Saa 8 kasorobo, ndugu wa mgonjwa akampigia simu yule nesi na kusema: "Ikifika muda wa kula umlazimishe ale chote, humo kuna sumu. Tumekubaliana wanafamilia kwamba afe, hatuna fedha za kumpeleka nchini India kwa matibabu! Duh, kasheshe...

No comments:
Post a Comment