UPANUZI BARABARA YA BAGAMOYO WAANZA...

Katika kile kinachoonekena ni kukabiliana na msongamano barabarani, mamlaka zinazohusika zimeanza kushughulikia upanuzi wa barabara ya Bagamoyo kipande cha Bamaga-Sayansi mbele ya Chuo cha Posta Kijitonyama kama 'mzururaji' wetu alivyokuta leo mchana kazi ikiwa imeshika kasi. (Picha na ziro99blog).

1 comment:

Anonymous said...

tusitumie kingereza kama kuandika hatujui tunajiaibisha