zironews
Monday, July 14, 2014
Mshambuliaji na nahodha wa timu ya Argentina, Lionel Messi akiwatoka mabeki wa Ujerumani katika mechi ya fainali ya Kombe la Dunia iliyochezwa Uwanja wa Maracana usiku huu. Ujerumani ilishinda bao 1-0 na kutawazwa mabingwa wa Kombe la Dunia 2014.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment