Friday, April 11, 2014

VIKWAZO VYA WATOTO WA KIKE KAGERA HIVI HAPA

Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Fabian Massawe amesema kuwa baadhi ya sheria mama, mila, desturi na baadhi ya dini nchini ni moja ya changamoto zinazodidimiza maendeleo ya watoto wa kike.
Amesema changamoto hizo, zinafanya watoto wa kike, kushindwa kuendelea na masomo huku wakiolewa katika umri mdogo.

No comments: