Friday, April 11, 2014

SUMAYE KUUNGURUMA KESHO CHUO KIKUU CHA HAVARD

Aliyekuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kesho anatarajiwa kuunguruma kwenye Kongamano la 20 la Kimataifa la Chuo Kikuu cha Harvard huko Boston nchini Marekani.

No comments: