zironews
Friday, April 11, 2014
SUMAYE KUUNGURUMA KESHO CHUO KIKUU CHA HAVARD
Aliyekuwa Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye kesho anatarajiwa kuunguruma kwenye Kongamano la 20 la Kimataifa la Chuo Kikuu cha Harvard huko Boston nchini Marekani.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment