Friday, April 11, 2014

POLISI ZANZIBAR WAKAMATA SILAHA ZA KIVITA

Polisi Zanzibar, wamefanikiwa kukamata silaha mbili  za vita na risasi 40 zinazosadikiwa kutumika katika matukio mbalimbali ya kihalifu, likiwemo la mauaji ya askari polisi mmoja lililotokea Machi 2, mwaka huu huko kwenye Hoteli ya Kitalii ya Pongwe Bay mkoa wa Kusini Unguja Zanzibar.

No comments: