zironews
Friday, April 11, 2014
MAFURIKO YASOMBA GARI, DEREVA ADANDIA KWENYE MTI
Dereva wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA), Juma Moshiamenusurika kufa maji baada ya gari alilokuwa akiliendesha kusombwa na mafuriko ya maji katika mto Malera, nje kidogo ya mji wa Karatu na yeye mwenyewe kupanda juu ya mti.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment