Friday, April 11, 2014

WAJUMBE WAHOFIA SERIKALI TATU ITALETA UBAGUZI

Kamati za Bunge Maalumu la Katiba zimeanza kuwasilisha bungeni maoni yake, kuhusu mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya, huku wengi wakikataa muundo wa serikali tatu,  kwa kusema utaibua hisia za ubaguzi kwa wananchi wa taifa moja.

No comments: