HAKIKA HUWEZI KUAMINI KILICHOTOKEA, JAMANI MADEREVA MTATUMALIZA...

Pichani juu ni mabaki ya gari aina ya Toyota Noah baada ya kujibamiza kwenye lori Singida na kuua watu 13 papo hapo. Kuna umuhimu wa mamlaka husika kuwa makini ili kuepusha vifo vya watu wasiokuwa na hatia.

No comments: