Sunday, November 11, 2012

MKUTANO MKUU WA CCM MJINI DODOMA MCHANA HUU...

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha Mapinduzi, Rais Jakaya Kikwete akisisitiza jambo wakati wa hotuba yake ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa chama hicho mjini Dodoma mapema leo.

Sehemu ya wajumbe waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Dodoma, mapema leo wakifuatilia hotuba ya ufunguzi iliyotolewa na Mwenyekiti wa chama hicho, Rais Jakaya Kikwete.

No comments: