Abiria wakisubiri usafiri wa kuelekea mjini kwenye kituo cha mabasi yanayoelekea upande mwingine eneo la Buguruni Sokoni, Dar es Salaam leo asubuhi. Kutokana na shida ya usafiri wa kwenda katikati ya jiji, abiria hulazimika kusimama ng'ambo ya barabara na kuvizia mabasi yanapogeuka kurudi mjini jambo ambalo ni la hatari kwa usalama wao. (Picha na ziro99blog).
No comments:
Post a Comment