Hivi nani kasema gari la kusomba taka lazima liwe chakavu? Pichani, lori linalofanya kazi ya kuzoa taka likikatiza enero la Kinondoni Mkwajuni, Dar es Salaam leo asubuhi katika safari zake za kawaida za kubeba taka. Pata picha lilivyochoka na mzigo lililobeba ndio maana nashawishika kusema, "Taka zimebebwa na Taka". (Picha na ziro99blog).
No comments:
Post a Comment