EXCLUSIVE!! Mwanamuziki mkali wa mavoko wa bendi ya Akudo Impact, Prezdaa Christian Bella "Obama" ameachia video ya single yake matata ya Usilie akimshirikisha mkali wa Bongo Fleva, Banana Zorro. 'Combination" hiyo imeweza kuzaa kitu kikali ambacho ziro99blog pekee ndiyo imepewa ruhusa na Prezdaa Bella kuwaletea mashabiki. Video hiyo itarushwa hapa wakati wowote ndani ya blogu hii mwishoni mwa wiki.
No comments:
Post a Comment