BIASHARA ASUBUHI...
Dada huyu akipanga barafu katika kasha analohifadhia biashara yake ya maji baridi kabla ya kuanza kuwauzia wateja wake kama alivyonaswa na 'mzururaji' wetu asubuhi hii maeneo ya Buguruni Relini, Dar es Salaam. (Picha na ziro99blog)
No comments:
Post a Comment