Akinamama wakipita na vifurushi kichwani mbele ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam leo asubuhi baada ya kufanya manunuzi ya bidhaa mbalimbali kwenye soko la Ilala.
Mwendesha baiskeli ya miguu mitatu maarufu kama guta akipita katikati ya barabara maeneo ya Amana, Ilala, Dar es Salaam leo asubuhi. Usafiri huu umekuwa maarufu sana kwa kubeba mizigo kama inavyoonekana pichani.
Waendesha baiskeli aina ya guta wakisukuma baiskeli hizo kutokana na mzigo mzito waliobeba kutokea soko la Ilala leo asubuhi. Uendeshaji huu wa baiskeli haukubaliki kwa usalama barabarani kwa umekuwa kero kwa watumiaji wengine wa barabara na moja ya chanzo cha foleni kubwa za magari.
Jamaa hawa wakiwa wamestarehe kwenye masofa yaliyopakiwa kwenye pikipiki ya miguu mitatu aina ya Toyo kwenye Barabara ya Kawawa maeneo ya Msimbazi Center leo asubuhi. Usalama wao je? (Picha zote na ziro99blog).
Mwendesha baiskeli ya miguu mitatu maarufu kama guta akipita katikati ya barabara maeneo ya Amana, Ilala, Dar es Salaam leo asubuhi. Usafiri huu umekuwa maarufu sana kwa kubeba mizigo kama inavyoonekana pichani.
Waendesha baiskeli aina ya guta wakisukuma baiskeli hizo kutokana na mzigo mzito waliobeba kutokea soko la Ilala leo asubuhi. Uendeshaji huu wa baiskeli haukubaliki kwa usalama barabarani kwa umekuwa kero kwa watumiaji wengine wa barabara na moja ya chanzo cha foleni kubwa za magari.
Jamaa hawa wakiwa wamestarehe kwenye masofa yaliyopakiwa kwenye pikipiki ya miguu mitatu aina ya Toyo kwenye Barabara ya Kawawa maeneo ya Msimbazi Center leo asubuhi. Usalama wao je? (Picha zote na ziro99blog).
No comments:
Post a Comment