Saturday, February 18, 2012
WAZO ZURI LILILOSHINDWA
Aliyetoa wazo hili hakika tunampongeza sana hasa kwa kuona umuhimu wa askari wetu wa usalama barabarani kuondokewa na adha ya jua na mvua ili kurahisisha kazi yao. Lakini inaonekana wazo hilo limepokewa kwa namna tofauti na walengwa baada ya vibanda vingi vilivyotapakaa jijini kuwa vitupu kama kilivyokutwa hiki kwenye makutano ya Barabara za Morogoro na Bibi Titi Mohamed eneo la Akiba mchana wa leo. Kama una lolote la kuchangia: ziro99blog@gmail.com
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment