Saturday, February 18, 2012
KITUO CHA MABASI YAENDAYO KASI
Kituo cha Mradi wa Mabasi yaendayo Kasi eneo la Shekilango, Dar es Salaam. Kumekuwa na sintofahamu nyingi miongoni mwa wakazi wa jiji kuhusu jinsi huduma hiyo ya mabasi itakavyoendeshwa hasa kutokana na ukweli kwamba jiji limefurika magari. Uongozi wa blogu hii unaanzisha mjadala wa wasomaji wake kwa yeyote yule mwenye uelewa wa jinsi gani mabasi hayo yataendesha huduma zake katikati ya msongamano huo. Shiriki kwa kutumia email hii: ziro99blog@gmail.com
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment