Saturday, February 18, 2012
SABABU ZAIDI ZA KUHAMA JANGWANI
Inarudiwa rudiwa kila wakati kwamba wakazi wanaoishi mabondeni wahame kuepuka mafuriko. Lakini kwa wakazi wanaoishi kando ya mto Msimbazi eneo la Jwangwani wana sababu zaidi ya kuhama. Nyaya hizi za umeme zilikiwa zimepita juu ya nyumba eneo hilo ni hatari zaidi pengine kuliko hayo mafuriko. Tusingoje kunyoosheana vidole, mamlaka husika zifanye kazi yake bila kuoneana haya. Siasa ikae kando. (Picha na ziro99blog)
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment