Monday, December 19, 2022
GHOROFA LAANGUKA NA KUUA WATANO, KUJERUHI TISA
Watu watano wamekufa na wengine tisa kujeruhiwa baada ya jengo la ghorofa mbili walilokuwa wakijenga kuanguka katika eneo la Marangu wilayani Moshi.
Wednesday, December 14, 2022
MWANDISHI TBC AFARIKI KWA AJALI YA BAISKELI MLIMA KILIMANJARO
Mwandishi wa Habari wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Joachim Kapembe (45), amefariki dunia wakati akishuka katika Mlima Kilimanjaro na anatarajiwa kuzikwa mkoani Tanga kesho.
Subscribe to:
Posts (Atom)