Idadi ya watu waliokufa katika ajali iliyohusisha
basi na treni katika eneo la Kibaoni, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro
imeongezeka na kufikia watano baada ya dereva wa basi kufariki wakati akipatiwa
matibabu.
Watu watano wamekufa
papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya DON’T WORRY
kugonga Treni ya mizigo katika makutano reli na barabara kuu katika eneo la Malolo, nje kidogo ya mji wa Tabora.