Tuesday, July 28, 2015

SABABU ZA UKAWA KUMPOKEA LOWASSA HIZI HAPA


Baada ya miaka 38 ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kada wake maarufu,
Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa amejitoa na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). 

MKONO WA KATUNISTI UCHAGUZI MKUU 2015


MKONO WA KATUNISTI UCHAGUZI MKUU 2015

WALIOKUFA AJALI BASI NA TRENI MOROGORO WAFIKIA WATANO


Idadi ya watu waliokufa katika ajali iliyohusisha basi na treni katika eneo la Kibaoni, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro imeongezeka na kufikia watano baada ya dereva wa basi kufariki wakati akipatiwa matibabu.

HIVI NDIVYO BASI LILIVYOGONGA TRENI NA KUUA WATU WATANO TABORA


Watu watano wamekufa papo hapo na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya DON’T WORRY kugonga Treni ya mizigo katika makutano reli na barabara kuu katika eneo la Malolo, nje kidogo ya mji wa Tabora.

Monday, July 27, 2015