| Nahodha wa Uholanzi, Robin van Persie akikumbatiana na kipa wake, Michel Vorm wakati wakitoka uwanjani baada ya kufanikiwa kuivurumusha Brazil mabao 3-0 na kushika nafasi ya tatu katika fainali za Kombe la Dunia mwaka huu, huku wachezaji wa Brazil wakiwa hawaamini kilichotokea. Kutoka kulia ni David Luiz, Oscar, Maicon na Hulk (kushoto). |
No comments:
Post a Comment