Saturday, April 12, 2014

MZINDAKAYA AULIPUA UMOJA WA KATIBA YA WATANZANIA BUNGENI

Mwanasiasa mkongwe nchini,  Dk Chrisant Mzindakaya ameutupia kombora Umoja wa Katiba ya Watanzania - nje ya Bunge Maalumu (Ukawa-nje) kwa kuzungumzia mjadala wa katiba nje ya Bunge Maalumu na kuita kitendo hicho kuwa ni uhaini wa kisiasa.

No comments: