CHEKA KIMYA-KIMYA...
Jamaa mmoja mpenda sifa kapigiwa simu na demu wake na mambo yalikuwa hivi.
Jamaa: "Hellow baby, mie nipo Mlimani City napata nyama choma na washikaji wangu!" Demu: "Okay, nilitaka kukwambia nimeshakulipia nauli, nipo siti ya nyuma kwenye daladala hili ulilopanda!" Duh...
No comments:
Post a Comment