Wednesday, June 19, 2013

CHEKA TARATIBU...

Dokta katika hospitali ya vichaa kamkuta kichaa mmoja akichungulia chini ya gari lake. Kwa akili ya haraka Dokta akafurahi sana akiamini kichaa yule kapona. Dokta akamfuata na kumuuliza: "Unafanya nini chini ya gari langu?" Kichaa akajibu: "Natazama kama ni jike au dume!" Kasheshe...

No comments: