![]() |
| Samwel Sitta. |
Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepinga malalamiko ya wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kuwa hawashirikishwi ikisema malalamiko ya baadhi ya wabunge hao ni ya ajabu na si ya kweli.
Aidha, wizara hiyo imesema baadhi ya wabunge wamekuwa na mambo yao mengi nje ya ubunge huo na vinapotokea vikao hawahudhurii na orodha ya mahudhurio inaonesha ukweli huo.
Akitoa ufafanuzi katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Dar es Salaam jana, Waziri mwenye dhamana na wizara hiyo, Samwel Sitta alisema katika kuwashirikisha ni pamoja na safari ya Mwenyekiti kualikwa katika uwasilishaji wa hotuba ya bajeti ya Wizara na uzinduzi wa shughuli za kiwizara.
“Wabunge hawa wana shughuli zao nyingi sana na hilo liko wazi, hao hao ni wafanyabiashara, hivyo namna ya kupanga vikao nao kuhudhuria ni tatizo, watambue kuwa kama wamegombea wahakikishe wanatekeleza,” alisema Sitta.
Alisema wabunge wa EALA wamekuwa wakishirikishwa katika shughuli za wizara ambayo hata hiyo haijawahi kupokea ombi lolote kutoka kwa mbunge na isilishughulikie.
Sitta alisema Wizara haina fungu la kuhudumia wabunge hao na hilo limekwishajadiliwa katika vikao vya kamati vilivyopita na ikabainika kuwa ofisi ya Bunge itaangalia uwezekano wa kuwapa ofisi na vitendea kazi vingine.
Juzi mbunge wa EALA Shy-Rose Bhanji alitoa malalamiko mbele ya Kamati hiyo akisema wabunge hao wamekuwa sawa na yatima.
Alisema wamekuwa wakitengwa katika masuala yanayohusu jumuiya hiyo nchini na kuiomba Kamati kuhakikisha sera ya utangamano ya Tanzania inaundwa rasmi, alidai kuwa hawana ofisi na hawajui wako chini ya chombo gani.
Sitta alisema malalamiko kuwa wizara imewatenga na imeshindwa kuwapa mwongozo wanapokwenda katika vikao vya Bunge, ni ya ajabu yasiyo na ukweli wowote.
Alitaja mambo ambayo wizara imeyafanya kuwa ni kwa kushirikiana na ofisi ya Bunge imefanya uchambuzi na kuandaa mwongozo ambao utawezesha ushirikiano na uwajibikaji baina ya Bunge la Tanzania na wabunge wa Tanzania katika EALA.
“Mwongozo huu umewezesha kuundwa kwa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, inayotoa nafasi ya kutoa taarifa za utekelezaji na kupata mwongozo,” alisema Sitta.
Aidha, alisema kwa kushirikiana na Ofisi ya Bunge, iliandaliwa semina kwa wabunge hao baada ya kuteuliwa kwao, ili kujenga uelewa wao kuhusu jumuiya kabla hawajaanza kazi zao semina iliyofanyika Mei mwaka jana ambapo mada mbalimbali zilijadiliwa ikiwamo changamoto na mafanikio ya Bunge hilo.
Alisema wajumbe walipewa katika semina hiyo vitabu kuhusu mfumo, taratibu, maeneo ya kuzingatia na vipaumbele vya Tanzania.
“Wizara iliandaa utaratibu wa kukutana na wabunge wa EALA kila kabla ya kikao cha Bunge la EALA mkutano ambao hufanyika sehemu ambako Bunge hufanyika na panapokuwa na suala nyeti Wizara huhakikisha inapata wadau kutoka sekta husika na kushirikiana nao ili kutoa uelewa sahihi kwa wabunge,” alisema Sitta.
Alisema wabunge wa EALA ni wawakilishi wa Bunge la Tanzania kwenye Bunge hilo na ndilo jimbo lao la uchaguzi, hivyo wana wajibu wa moja kwa moja katika Bunge la Tanzania na hivyo wanatarajiwa kutoa taarifa mara kwa mara za yanayojiri katika Jumuiya ikiwa ni pamoja na uamuzi unaofanyika na miswada iliyopitishwa ili kupata miongozo.

17 comments:
Brokersring.com - Learn how to turn $500 into $5,000 only in one month!
[url=http://www.brokersring.com/]Make Money Online[/url] - The Secret Reveled with Binary Option
Binary Options is the way to [url=http://www.brokersring.com/]make money[/url] securely online
Вasically intraday Τrader 247, bonds or cash in your prоduct maгkеting.
A variety of stockѕ. When Αpple's new CEO from 2010. The stock price is 17.
Also visit my website :: Trading 247 Buy
Quality posts is the important to interest the viewers to pay a visit the site, that's what this web page is providing.
Can you tell us more about this? I'd love to find out more details.
Hello to every body, it's my first pay a quick visit of this blog; this webpage
includes awesome and really excellent material in support of readers.
whoah this blog is great i love studying your posts. Keep up the good work!
You already know, lots of people are looking round for this
info, you could help them greatly.
My family all the time say that I am wasting my time here at
web, except I know I am getting experience everyday
by reading thes pleasant articles or reviews.
Hi, Neat post. There is an issue together with your site in internet explorer, could test this?
IE nonetheless is the marketplace leader and a huge component to other
people will pass over your magnificent writing
due to this problem.
hey there and thank you for your information – I
have definitely picked up anything new from right here.
I did however expertise several technical points using
this site, since I experienced to reload the site many
times previous to I could get it to load properly. I had been wondering if your
web hosting is OK? Not that I'm complaining, but slow loading instances times will sometimes affect your placement in google and could damage your quality score if advertising and marketing with Adwords.
Anyway I'm adding this RSS to my email and can look out for much more of your respective
intriguing content. Ensure that you update this again very
soon.
Do you have a spam problem on this website; I also am a
blogger, and I was wanting to know your situation; many of us have
developed some nice procedures and we are looking to trade solutions
with others, please shoot me an e-mail if interested.
Hi there colleagues, how is everything, and what you wish
for to say concerning this paragraph, in my view its in fact remarkable designed for me.
This website was... how do I say it? Relevant!!
Finally I've found something that helped me.
Thank you!
Wow! This blog looks exactly like my old one!
It's on a totally different topic but it has pretty much the same layout and design. Outstanding choice of colors!
Wonderful blog! Do you have any hints for aspiring writers?
I'm hoping to start my own site soon but I'm a little lost on everything.
Would you recommend starting with a free platform like Wordpress or go for a paid option? There are so many
choices out there that I'm totally confused .. Any recommendations?
Cheers!
My brother suggested I might like this web site. He was totally right.
This post truly made my day. You cann't imagine just
how much time I had spent for this information! Thanks!
Hello to all, how is all, I think every one
is getting more from this website, and your views
are pleasant in favor of new people.
Pretty component of content. I just stumbled upon your website and in accession capital to assert
that I get actually loved account your blog posts. Any way
I'll be subscribing on your feeds and even I fulfillment you access consistently quickly.
Post a Comment