Thursday, February 28, 2013

CHEKA TARATIBU...

Mlevi mmoja alikuwa akinywa bia kwa fujo kwenye baa moja iliyoko ghorofani. Wakati akitaka kwenda msalani akapita dirishani badala ya mlangoni na kudondoka nje na kupoteza fahamu. Wakati wapitanjia wakiulizana kilichotokea, ghafla yule mlevi akainuka na kujibu: "Yani hapa ndio kwanza nafika sijui chochote!" Duh...

No comments: