Mhariri na Menejimenti ya ziro99blog anaungana na wadau wake, Watanzania na Waislamu wote duniani katika kusherehekea Sikukuu ya Iddi El-Fitri. Tunawakumbusha Waislamu wote na Watanzania kwa ujumla kuhimizana kushiriki katika zoezi la Sensa Agosti 26, mwaka huu kwa maendeleo ya Taifa letu.
No comments:
Post a Comment