...Haya sasa, mzazi huyu kaamua kumvalisha ngoma mwanae na kuanza kuipiga. Sijui ana nia gani na mtoto huyu?
Kakosa vya kupika mpaka amfanye mtoto kitoweo? Je, ungepata nafasi ya kumweleza mzazi huyu juu ya kitendo alichofanya ungekuwa na yapi ya kumwambia? Bofya comments hapa chini kisha uandike ujumbe wako!


No comments:
Post a Comment