Sunday, April 29, 2012

CHEKA TARATIBU...

Farida akiwa amejilaza kwenye kochi huku wakiwa mezongwa na mawazo tele kichwani kuhusu mambo mbalimbali yaliyokuwa yakimzonga kichwani hatimaye kaamua kuwashirikisha ndugu zake.
Akawaita mama yake na kaka yake na kusema, "Hakuna anayenipenda…dunia nzima watu wananichukia!"
Baada ya sekunde kadhaa, kaka yake aliyekuwa bize na intaneti muda wote akageuka na kujibu, "Sio kweli dada yangu Farida. Kuna baadhi ya watu hata hawakufahamu!"

No comments: