Thursday, April 26, 2012

CHEKA TARATIBU...

Jamaa mmoja akiwa hoi bin taabani kitandani akisubiria 'Israeli' achukue roho yake akasema, "Mke wangu, siwezi kufa kabla sijakwambia ukweli wangu. Siku zote nilizokuwa nikikwambia nimechelewa kazini, nilikuwa nakudanganya badala yake nilikuwa nikila raha na wanawake wengine. Na si mmoja bali utitiri wa wanawake." Mkewe akamtazama kwa huruma na kisha kujibu, "Kwani unadhani sababu nimekulisha sumu?" Duh…

No comments: