Friday, March 30, 2012

UHABA WA PETROLI SIO KWETU TU, HATA UINGEREZA LIPO...

SIJUI NAO WANAFICHA MAFUTA? Moja ya vituo vha mafuta nchini Uingereza kikiwa kimewekwa matangazo yanayosema, "Samahani, Hakuna Dizeli. Tunasubiri Mafuta" na lingine "Samahani, Hakuna Petroli. Tunasubiri Mafuta".
KAMA BONGO! Hata vituo vichache vilivyokuwa na mafuta, kulikuwa na msongamano mkubwa sana wa magari.
KAAZI KWELI KWELI! Misururu ya magari ikisubiri huduma ya mafuta kwenye moja ya vituo vilivyobahatika kuwa na bidhaa hiyo nchini Uingereza.
KAMA HUKO HALI HIVI, HUKU JE? Kituo cha Mafuta cha ESSO nacho kikiweka tangazo la kwamba wanasubiria mzigo wa mafuta.

No comments: