Monday, March 19, 2012
MAJENGO HAYA KWA BARABARA ZIPI HASA?
DAR ES SALAAM YAPENDEZA!! Hili ni moja ya majengo marefu yanayoendelea kujengwa katikati ya jiji la Dar es Salaam maeneo ya Posta. Lakini jambo la kujiuliza, "Kwa barabara zipi hasa?" Najiuliza hivyo kwa kuzingatia kwamba wengi wa wapangaji wa majengo haya wanatokea nje ya mji ambako miundombinu ni mibovu mno hasa barabara ambako foleni imekithiri kuingia mjini. Je, haya ni maendeleo ama tatizo jipya? Ushauri wa bure: Haya majengo yangejengwa nje ya jiji maeneo kama ya Mwenge, Tegeta, Ubungo, Kimara na kwingineko. (Picha na ziro99blog)
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment