Saturday, February 18, 2012

KILIO CHA WAKAZI CHANGANYIKENI

Kipande cha Barabara kati ya Majumba Ishirini, Changanyikeni kuelekea mabweni ya wanafunzi wa Chuo Kikuu eneo la Yombo kama kilivyokutwa leo asubuhi. Kipande hiki kimekuwa kero kubwa kwa wakazi wa Changanyikeni wanaotumia usafiri wa daladala kwenda mjini kutokana na kutelekezwa na wahusika. Kilio cha watumiaji wa njia hiyo ni kuwekewa lami ili waweze kupita salama hasa wakati wa mvua kutokana na uongozi wa chuo hicho kusisitiza daladala zote kutumia njia hii saa moja asubuhi hadi saa moja usiku. (Picha na ziro99blog)

No comments: