Thursday, February 16, 2012
ARSENAL YAJIWEKA PABAYA ULAYA
Timu ya soka ya Arsenal usiku wa kuamkia leo imejiweka katika wakati mgumu baada ya kukubali kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa AC Milan kwenye Uwanja wa Stadio Giuseppe Meazza, mjini Milan Italia. Katika mchezo huo wa hatua ya mtoano ya 16 Bora, mabao ya Kevin Prince Boateng (15), Robinho (38, 49) na Ibrahimovic (penalti 79) yalitosha kumfanyia Send-off ya kukumbukwa Thierry Henry anayerejea Marekani baada ya kuwa kwa mkopo Emirates. Pichani Ibrahimovic (kulia) akishangilia huku Henry akiwa haamini kinachotokea San Siro.
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment