| Wachezaji wa Uholanzi, Dirk Kuyt (kushoto) na Arjen Robben akifurahia jambo baada ya kuvishwa medali kufuatia ushindi wa mabao 3-1 walioupata dhidi ya Brazil na hivyo kushika nafasi ya tatu katika Fainali za Kombe la Dunia mwaka huu, kwenye Uwanja wa Estadio Nacional mjini Brasilia usiku wa kuamkia leo. |
No comments:
Post a Comment