Wednesday, July 9, 2014

Benchi la ufundi la Brazil likiongozwa na Meneja Luis Fellipe Scolari wakimbembeleza mmoja wa wachezaji wa timu hiyo aliyekuwa akibubujikwa machozi baada ya kipigo cha mabao 7-1 walichokipata kutoka kwa Ujerumani katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia jana.

No comments: