Monday, June 30, 2014

Wachezaji wa Costa wakishangilia mara baada ya mwenzao kufunga penalti ya mwisho na hivyo kuindosha mashindanoni Ugiriki kwa jumla ya penalti 5-3 baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 120 za mechi hiyo jana.

No comments: