zironews
Monday, June 30, 2014
Wachezaji wa Costa wakishangilia mara baada ya mwenzao kufunga penalti ya mwisho na hivyo kuindosha mashindanoni Ugiriki kwa jumla ya penalti 5-3 baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 120 za mechi hiyo jana.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment