Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, Mkuu huyo wa mkoa na msafara wake walikuwa waanze safari ya kukagua athari za mafuriko zilizotokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na mikoa ya jirani.
Kwa mujibu wa chanzo hicho, helikopta hiyo iliruka juu umbali wa futi 15 na kisha kuanguka chini ubavu.
Haikuweza kufahamika mara moja chanzo cha ajali hiyo.
aarifa zaidi endelea kuperuzi ziro99blog.

No comments:
Post a Comment