TAARIFA YA MSIBA...

*********************************
*********************************
MAMA NJILIMA AMETUTOKA!! 
Familia ya Mzee Duncan Njilima wa Ubungo N.H inasikitika kutangaza kifo cha mama yao kipenzi, (mama wa Wendy, Janet, Masunga, Bruce na Mandago) kilichotokea leo asubuhi baada ya kuugua kwa muda mfupi. Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwao kota za Ubungo N.H jirani na Hoteli za Sharon na Whitemark. Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina lake libarikiwe. Amina.
*********************************
********************************* 

No comments: