Wednesday, May 15, 2013

CHEKA TARATIBU...

Babu mmoja alikuwa kajipumzisha chini ya mti huku mjukuu wake akiwa anafua nguo zake za shule kando yake. Mara babu akainuka ghafla na kumwambia mjukuu wake: "Manase jifiche mwalimu wako huyo anakuja, si hujaenda shule leo!" Mjukuu akajibu: "Jifiche wewe, maana jana niliomba ruhusa kwamba umekufa!" Duh...

No comments: