Monday, March 18, 2013

CHEKA TARATIBU...

Jamaa mmoja kafikishwa hospitali baada ya kuugua malaria ghafla nyumbani kwake. Daktari alipompima akasema: "Huyu lazima apewe kitanda." Jamaa: "Hicho ninacho, labda mnipe kabati jamani!" Kasheshe...

No comments: