Habari zilizotufikia punde ambazo bado hazijathibitishwa rasmi na mamlaka husika zinasema kwamba mwanajeshi mmoja anaaminika kufa na wenzake wengine kuvunjika ama kukatika miguu baada ya gari lao dogo la jeshi kugongana uso kwa uso na daladala maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam leo asubuhi. Hali ya majeruhi na chanzo cha ajali hiyo hakikuwekwa wazi. Tunaendelea kufuatilia kwa undani taarifa hizo kwa mamlaka husika. Endelea kufurahia ziro99blog.
Tuesday, October 16, 2012
AJALI MBAYA YAUA MWANAJESHI MIKOCHENI...
Habari zilizotufikia punde ambazo bado hazijathibitishwa rasmi na mamlaka husika zinasema kwamba mwanajeshi mmoja anaaminika kufa na wenzake wengine kuvunjika ama kukatika miguu baada ya gari lao dogo la jeshi kugongana uso kwa uso na daladala maeneo ya Mikocheni, Dar es Salaam leo asubuhi. Hali ya majeruhi na chanzo cha ajali hiyo hakikuwekwa wazi. Tunaendelea kufuatilia kwa undani taarifa hizo kwa mamlaka husika. Endelea kufurahia ziro99blog.
This is a blog that brings you hot news that aims to educate the community about various things including sports, culture, art, entertainment and social. This blog does not involve political issues at all. We ask for your cooperation and to contribute opinions on the various information we bring to you.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment