MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA HUOOOO...
Ujenzi wa miundombinu ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka unaendelea kushika kasi na sasa mkandarasi ameshafika eneo la Kimara, Dar es Salaam kama alivyokutwa na mpigapicha jana ambapo mafundi walikuwa wakiendelea na kazi.
No comments:
Post a Comment